Back to home

Kenya yazidi kung'ara Tokyo, Wandia na Rono washinda dhahabu

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 23, 2025
17h ago
Timu ya kenya imeongeza medali zake kwenye michezo ya deflympics inayoendelea jijini tokyo hadi 10, ambapo lucas wandia na elikana rono walitetea taji lao kwenye mbio za mita 3000 kuruka viunzi na 800 mtawalia.