Back to home

Mahakama yasimamisha ubomozi Makongeni

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 24, 2025
2mo ago
Ni afueni ya muda kwa maelfu ya wakaazi wa mtaa wa makongeni hapa Nairobi baada ya mahakama kusitisha ubomoaji unaoendeshwa na serikali. Wakaazi walioathiriwa wameiambia mahakama kuwa serikali haikufuata kanuni kwenye ubomoaji huo unaonuiwa kupisha ujenzi wa nyumba za serikali.

More on this topic

Court Halts Government-Ordered Demolitions in Makongeni, Nairobi - November 2025

The High Court in Kenya has temporarily halted the demolition of houses and structures in the Makongeni area of Nairobi, providing a reprieve for residents facing eviction. The court's decision came after a legal challenge was launched by those affected by the planned demolitions. The affected residents argued that the government did not follow proper procedures for the demolitions it had ordered.

3 stories in this topic
View Full Coverage
Advertisement