Back to home
Mahakama yasimamisha ubomozi Makongeni
video
C
Citizen TV (Youtube)November 24, 2025
2mo ago
Ni afueni ya muda kwa maelfu ya wakaazi wa mtaa wa makongeni hapa Nairobi baada ya mahakama kusitisha ubomoaji unaoendeshwa na serikali. Wakaazi walioathiriwa wameiambia mahakama kuwa serikali haikufuata kanuni kwenye ubomoaji huo unaonuiwa kupisha ujenzi wa nyumba za serikali.
Advertisement
Court Halts Government-Ordered Demolitions in Makongeni, Nairobi - November 2025
The High Court in Kenya has temporarily halted the demolition of houses and structures in the Makongeni area of Nairobi, providing a reprieve for residents facing eviction. The court's decision came after a legal challenge was launched by those affected by the planned demolitions. The affected residents argued that the government did not follow proper procedures for the demolitions it had ordered.
Mahakama yasitisha ubomoaji Makongeni baada ya malalamishi ya wakazi
KTN News (Youtube)
Video
Nairobi: Mahakama yasitisha kwa muda ubomoaji wa nyumba katika mtaa wa Makongeni
NTV Kenya (Youtube)
Video
3 stories in this topic
View Full CoverageAdvertisement




