Back to home
Upasuaji wa maiti wa Dkt. Sonnia Nzilani waonyesha alivuja damu nyingi moyoni
video
C
Citizen TV (Youtube)November 25, 2025
2h ago
Upasuaji wa maiti ya aliyekuwa waziri wa Kaunti ya Makueni ambaye alipatikana amefariki nyumbani kwake Makindu Daktari Sonnia Nzilani, ulionesha kuwa alifariki kutokana na shinikizo la damu moyoni lililosababisha mpasuko na kutokwa na damu nyingi kwa ndani .





