Back to home
Maandalizi ya mbio za Nyika za Chepsaita yanaendelea
video
C
Citizen TV (Youtube)November 25, 2025
1w ago
Maandalizi ya awamu ya tatu ya mbio za nyika za Chepsaita yanaendelea vyema. Mfadhili wa mbio hizo Farouk Kibet amekagua uwanja wa Chepsaita, akieleza kwamba kila kitu kitakuwa tayari kwa wakati. Kibet, alitembelea uwanja huo pamoja na maafisa wa shirikisho la riadha nchini AK na





