Back to home
Mafuriko Baringo yasomba vituo 8, IEBC yatafuta vituo mbadala
video
C
Citizen TV (Youtube)November 25, 2025
13h ago
Katika kaunti ya Baringo, wapiga kura katika baadhi ya vituo vya kupigia kura huenda wasipate fursa hiyo baada ya ziwa Bogoria kuvunja kingo zake na kuzina baadhi ya vituo hivyo. Kamishna wa IEBC Anne Nderitu aliyezuru eneo hilo sasa kitangaza kuwa IEBC italazimika kutoa sehemu M




