Back to home
GOR yapokea kichapo 1-4 Kutoka APs Bomet
video
C
Citizen TV (Youtube)November 25, 2025
13h ago
Mabingwa mara 21 wa ligi kuu ya kenya gor mahia fc wamepokea kichapo cha mabao 4-1 dhidi ya timu APs Bomet kwenye mechi ya ligi kuu ya taifa katika uwanja wa taifa wa Nyayo Alasiri ya leo.

