Back to home
Mawakili waitaka ICC kuchunguza ghasia Tanzania
video
C
Citizen TV (Youtube)November 26, 2025
3w ago
Makundi ya kimataifa ya mawakili sasa yanaitaka mahakama ya kimataifa ya ICC kufanya uchunguzi huru kuhusu ghasia na mauaji yaliyoshuhudiwa wakati wa uchaguzi mkuu nchini Tanzania. Mashirika haya yakiongozwa na chama cha mawakili cha Madrid nchini Uhispania yanaripoti dhuluma na
Advertisement
Advertisement





