Back to home
Je, ni hakikisho kuwa Kalonzo ndiye kigogo wa siasa za ukambani?
video
N
NTV Kenya (Youtube)November 28, 2025
2h ago
Uchaguzi mdogo wa wadi ya Mumbuni Kaskazini haujatoa tu diwani mpya, bali pia umechochea upya mapambano ya kisiasa yanayouchonga mwelekeo wa mabadiliko ya kitaifa kuelekea uchaguzi wa mwaka 2027.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the K





