Back to home
Mitandao ya kijamii yachangia kuharibu ndoa nyingi Lamu
video
C
Citizen TV (Youtube)December 1, 2025
1h ago
Mitandao ya kijamii imetajwa kuchangia ndoa nyingi kuporomoka katika Kaunti ya Lamu kutokana na wanandoa kutumia muda wao mwingi kwenye mitandao huku wakisahau majukumu yao nyumbani.





![| Ukumbi | Kurunzi ya chaguzi ndogo [Part 1]](https://static.theonlinekenyan.com/news_images/-Ukumbi-Kurunzi-y_1764581278-16x9.jpg)



