Back to home

Serikali yashirikiana na muungano wa majeshi ya Kiislamu dhidi ya ugaidi

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 1, 2025
2h ago
Muungano wa majeshi ya Kiislamu dhidi ya ugaidi umenzisha programu ya mafunzo ya kukabilana na jinamizi la ugaidi nchini. Hafla ya uzinduzi wa kutoa mafunzo hayo ya siku sita kwa wanahabari, wataalamu na wasomi inafanyika hapa Jijini Nairobi.