Back to home

Idadi ya vijana wanaoambukizwa virusi vya Ukimwi yahofiwa kuongezeka katika kaunti ya Lamu

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 2, 2025
3h ago
Idara ya Afya ya Kaunti ya Lamu inahofia kuwa maambukizi ya virusi vya UKIMWI yanaweza kuongezeka kutokana na watu wengi, hasa vijana chini ya umri wa miaka 19, kukosa kuchukua tahadhari za kujikinga dhidi ya virusi hivyo.