Back to home
Mgogoro wa eneo la malisho Isiolo
video
C
Citizen TV (Youtube)December 3, 2025
1h ago
Viongozi na wamiliki wa mifugo kaunti ya Isiolo wameitaka kamati ya usalama ya kaunti kuhakikisha kuwa wafugaji kutoka Samburu wanaoingia eneo la malisho la chari wameondolewa ndani ya siku mbili zijazo, kufuatia makabiliano yaliyosababisha vifo vya polisi wawili wa akiba na kumj




