Back to home
Maandalizi ya mbio za Nyika za Chepsaita yakamilika
video
C
Citizen TV (Youtube)December 3, 2025
1h ago
Gavana wa Uasin Gishu Jonathan Bii, Daktari Andrew Toro wa wizara ya afya na mwasisi wa mbio za nyika za Chepsaita, Farouk Kibet , waliogoza hafla ya kambi ya matibabu ya bure katika shule ya msingi ya Chepkemel huko Turbo.





