Back to home
Matumaini ya fidia ya jamii ya Talai kaunti ya Nandi
video
C
Citizen TV (Youtube)December 3, 2025
2w ago
Kauli mpya kutoka kwa kaimu Balozi wa Uingereza nchini Kenya, Dkt. Barnet, imezua matumaini mapya kwa jamii ya Talai katika Kaunti ya Nandi kufuatia madai yao ya muda mrefu ya fidia kutokana na madhila waliyopitia chini ya utawala wa kikoloni wa Uingereza.
Advertisement
Advertisement





