Back to home

Serikali kuuza 15% ya hisa zake kwa Vodafone

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 4, 2025
1h ago
Hazina ya Taifa imetangaza mipango ya serikali ya kuuza asilimia 15 ya hisa zake katika kampuni ya huduma za mawasiliano ya simu ya Safaricom. Kulingana na serikali, hatua hiyo itaisaidia kupata shilingi bilioni 244.5 zitokozwa katika hisa zaidi ya milioni 6 zitakazohamishwa kwa