Back to home
Viongozi wa vijana wataka maridhiano ya kisiasa katika kaunti ya Homa bay
video
C
Citizen TV (Youtube)December 4, 2025
2d ago
Viongozi wa vijana katika kaunti ya Homa bay wanawarai wakazi na viongozi wa kisiasa kufanya maridhiano baada migongano ya uchaguzi ndogo uliofanyika katika eneobunge la kasipul. Haya yanajiri wakati malumbano yanaendelea kutokota baina ya wanachana wa ODM na UDA katika kaunti ya




