Back to home
Korti yatamka Ruto hana mamlaka kwa kamati ya fidia
video
C
Citizen TV (Youtube)December 4, 2025
2h ago
Rais William Ruto hana mamlaka ya kubuni na kuteua kamati ya kushughulikia maswala ya fidia ya waathiriwa wa ghasia. Mahakama kuu badala yake ikiamua kuwa jukumu hilo ni la tume ya kitaifa ya kutetea haki za kibinaadam.



