Back to home

Kongamano la maonyesho ya sukari lafanyika Kisumu

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 5, 2025
3mo ago
Mwenyekiti wa bodi ya sukari ya Kenya, Nicholas Gumbo, ametoa wito kwa vijana kujitosa katika kilimo cha miwa, akisema kuwa ukuaji wa baadaye wa sekta ya sukari nchini sasa uko mikononi mwa vijana wanaojua teknolojia
Advertisement