Back to home
Ujenzi wa Kipkeino Stadium Kapsabet
video
C
Citizen TV (Youtube)December 5, 2025
1h ago
Waziri wa ulinzi Soipan Tuiya leo ameongoza sherehe ya kihistoria ya kuweka jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wa kisasa wa Kipchoge Keino, unaotarajiwa kuchukua watazamaji 10,000, mjini kapsabet, kaunti ya Nandi.

