Back to home

Wakulima wageukia kilimo cha asili bila ya kutumia kemikali kaunti ya mpakani ya Busia

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 5, 2025
1h ago
Wakulima wafanyabiashara katika kaunti ya mpakani ya Busia wameitaka serikali ya kaunti hiyo kurasimu na baadaye kupitisha sera ya kilimo ekolojia ili kujenga kilimo endelevu kinachojitosheleza kwa kutumia raslimali asili.Mfumo huo wa kilimo usiotumia kemikali unatarajiwa kurekeb