Back to home
Waziri Duale apuuza madai ya kutoa taarifa za matibabu ya Wakenya kwa Marekani
video
C
Citizen TV (Youtube)December 7, 2025
9h ago
Waziri wa Afya Aden Duale amepuuza madai ya kuwa maelezo ya kibinafsi ya matibabu ya wakenya yanatumwa kwa serikali ya Marekani, chini ya mkataba mpya wa afya uliotiwa saini wiki jana.
Advertisement





