Back to home

IEBC yalalamikia idadi ndogo ya vijana kujisajili kuwa wapiga kura

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 8, 2025
2h ago
Tume ya uchaguzi na mipaka IEBC imelalamikia idadi ndogo ya vijana wanaojitokeza kujisajili kuwa wapiga kura. Tume hiyo kufikia sasa ikiwasajili wapiga kura 148,000 tu kwa zaidi ya miezi miwili iliyopita. Hata hivyo, leo jukwaa la kuchukua maoni kutoka kwa wadau wa uchaguzi mdogo
Advertisement