Back to home

Walezi wa walemavu wanakabiliwa na matatizo mengi Busia

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 10, 2025
8h ago
Walezi na wazazi wa watu wanaoishi na changamoto za ulemavu wakiwemo wazee katika katika kaunti ya Busia wamelalamikia kupuuzwa na jamii na kuachiwa mzigo wa elimu na malezi ya watu hao wenye mahitaji maalum. Walezi hao wamesikitika kuwa kwa muda mrefu, walemavu wamedharauliwa na
Advertisement