Back to home
Madai ya hoteli kujengwa kwenye kivuko cha Maasai Mara yazua zogo
video
C
Citizen TV (Youtube)December 11, 2025
1d ago
Kwa takriban miezi mitano sasa, taarifa kuhusu hoteli iliyodaiwa kujengwa kwenye kivuko cha Mara kimeibua mdahalo mtandaoni. Hoteli hiyo ya Ritz Carlton sasa ina kibarua cha kujitetea mahakamani baada ya mwanaharakati wa mazingira Joel Meitemei kuishtaki na kutoa ombi kwa mahakam
Advertisement
Advertisement




