Back to home

Upinzani wasema serikali inauza mali ya umma kiholela

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 11, 2025
14h ago
Muungano wa upinzani umeikosoa serikali ukidai kwamba inauza mali ya umma bila ya kushirikisha maoni ya wananchi. viongozi wa muungano huo wakitoa taarifa ya mwaka wameilaumu pia tume ya IEBC wakisema ilishindwa kuandaa uchaguzi mdogo ulio huru na wa haki. Aidha , wamesema watael
Advertisement