Back to home

Wafanyabiashara Nairobi walalamika kufungwa kwa simu za malipo polepole

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 13, 2025
2h ago
Mamia ya wafanyibiashara jijini Nairobi walivamia ofisi za kampuni moja ya kuuza simu za malipo ya polepole wakidai kuhangaika baada ya simu zao kuzimwa. Wanasema kuwa wamekuwa wakilipia simu hizo ila ghafla ziliacha kufanya kazi.Wafanyibiashara hao wanalalamikia hasara kwani wat
Advertisement