Back to home

Lazium FC washinda taji la Rashid Abdallah Super Cup baada ya kuifunga Azzam United 2-1

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 14, 2025
1d ago
Timu ya Lazium FC ndio mabingwa wapya wa mchuano wa Rashid Abdallah super cup baada ya kuilaza Azzam united mabao mawili kwa moja kwenye fainali iliyochezwa uwanja wa kaunti ya Kwale.
Advertisement