Back to home

Kalonzo ailaumu serikali kwa kutoa ahadi za uongo za Kenya kuwa taifa lililostawi

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 14, 2025
8h ago
Kinara wa Wiper, Kalonzo Musyoka, ameilaumu serikali kwa kuwapa Wakenya ahadi za uongo, akisema ahadi za Kenya kuwa taifa lililostawi karibuni ni ndoto tu. Akizungumza wakati wa ibada eneo la South B hapa Nairobi, Kalonzo akisema pesa anazopanga kutumia Rais William Ruto kwa mpan
Advertisement