Back to home

Ruto atangaza ajenda ya kuibadilisha Kenya kuwa kama Singapore, amsuta Kalonzo

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 14, 2025
4h ago
Rais William Ruto hii leo ametangaza kwamba safari ya kuibadilisha kenya kuwa kama taifa la Singapore itangoa nanga hapo kesho huku akidai itakuwa ajenda kuu kujadiliwa na mawaziri hususan hazina ya miundombinu. Rais pia amemsuta kinara wa WIPER Kalonzo Musyoka kwa kuwaahidi wake
Advertisement