Back to home
Wafugaji Samburu washauriwa kuwapeleka mifugo wapewe chanjo
video
C
Citizen TV (Youtube)December 15, 2025
2h ago
Wafugaji katika kaunti ya samburu wamehimizwa kukumbatia chanjo ya mifugo ya miguu na midomo,katika zoezi la utoaji chanjo linaloendeshwa kwa ushirikiano wa serikali kuu na serikali ya kaunti hiyo.
Advertisement
Advertisement





