Back to home
Tamasha ya kila mwaka ya jamii ya Waluo, Piny Luo, yaanza rasmi
video
C
Citizen TV (Youtube)December 15, 2025
2h ago
Tamasha ya utamaduni wa jamii ya waluo PINY LUO awamu ya tano imenza rasmi katika chuo kikuu Cha Rongo kaunti ya Migori .
Sherehe hiyo inatazamiwa kuwaleta pamoja wanajamii a asili ya waluo Kutoka Kenya na nchi jirani za Tanzania, Uganda ,DRC na Ethiopia lengo kuu ni kusherekea u
Advertisement
Advertisement





