Back to home

Wakazi wa Ndaragwa wataka serikali kutumia mbwa wa kunusa kukabiliana na wezi wa mifugo

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 15, 2025
2h ago
Wakazi katika eneo mbunge la Ndaragwa Kaunti ya Nyandarua wametaka polisi watumie mbwa wa kunusa kuwanasa wezi wa mifugo ambao wamekuwa wakiwahangaisha eneo hilo. Wamedai kuwa visa vya wizi wa mifugo, uvunjaji wa nyumba na maduka vimekuwa vikiongezeka kila kuchao lakini hakuna m
Advertisement