Back to home

Wakazi wa Nyaibasa Kisii walalamika barabara imefungwa

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 16, 2025
3h ago
Wakazi wa kijiji cha Nyaibasa, kule Baasi Nyamache kaunti ya Kisii wameandamana baada ya watu mashuhuri serikalini kulima na kufunga barabara wanayodai ilitengenezwa na serikali ya kaunti ya Kisii kusaidia kurahihisha shughuli za usafiri .
Advertisement