Back to home
Matabibu Kilifi wataka muundo msingi wa afya kuimarishwa nchini
video
C
Citizen TV (Youtube)December 16, 2025
3h ago
Viongozi wa miungano ya maafisa tabibu nchini wameitaka serikali kuboresha miundo msingi na huduma za afya nyanjani. Wakiongozwa na rais wa muungano wa maafisa tabibu nchini Moses Konde Matole viongozi hao wamesema kuwa ipo haja ya serikali ya kitaifa na serikali za kaunti kuweke
Advertisement
Advertisement





