Back to home

Binti wa miaka 21 ahitaji figo ya tatu baada ya matibabu kukwama kwa ukosefu wa fedha

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 16, 2025
8h ago
Fyona Wanjiku Kabitta alipandikizwa figo mbili akiwa mtoto wa miaka sita na hadi sasa anahitaji figo ya tatu angalau kumpa fursa ya kuendelea na shughuli zake za kawaida. Kwa binti huyu wa miaka 21, maisha yake yamekwama baada ya kukaa nchini India kwa muda kutafuta matibabu. Hat
Advertisement