Back to home

Mwanamume Mombasa alilia haki baada ya kudai kupigwa risasi na polisi

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 16, 2025
8h ago
Mwanamume mmoja katika eneo la Freer Town kaunti ya Mombasa analilia haki baada ya kupigwa risasi na maafisa wa polisi miezi miwili iliyopita. Omar Ali anadai kuwa masaibu yake yalianza alipolazimishwa kutia saini stakabadhi kuonyesha kuwa alikuwa amekubali kuondoa kesi na maafis
Advertisement