Back to home

Mwanamume mmoja analilia haki Freer Town baada ya kupigwa risasi na polisi Mombasa

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 17, 2025
1d ago
Mwanamume mmoja katika eneo la Freer Town Kaunti ya Mombasa analilia haki baada ya kupigwa risasi na maafisa wa polisi miezi miwili iliyopita. Omar Ali anadai kuwa masaibu yake yalianza alipolazimishwa kutia saini stakabadhi kuonyesha kuwa alikuwa amekubali kuondoa kesi na maafis
Advertisement