Back to home

Kenya imefikisha medali 14 katika michezo ya vijana Africa

video
K
KTN News (Youtube)
December 17, 2025
4h ago
#ktnnews #KTNNewsDigital #ktnkenya #KTNTV #KTNHome #KenyaNews Kenya imefikisha medali 14 katika michezo ya vijana kanda ya africa inayofanyika Luanda, Angola, baada ya michezo ya judo na michezo ya kushindana kwa vitara maarufu kama fencing kuongeza medali tatu za shaba. Rael
Advertisement