Back to home
Michezo ya vijana ya Afrika
video
C
Citizen TV (Youtube)December 18, 2025
11h ago
Timu ya wasichana ya mpira wa mikono ya ufukweni ya Kenya chini ya miaka 17 ilinyakua medali ya fedha na kuongeza idadi ya medali za timu ya Kenya hadi 17 katika michezo ya vijana ya Afrika ya mwaka wa 2025 huko Luanda, Angola.
Advertisement
Advertisement





