Back to home

Kenya yafikia medali 23 michezoni barani Afrika

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 19, 2025
2h ago
Idadi ya medali za kenya katika michezo ya vijana ya afrika imefikia 23 baada ya vijana wa kenya kuongeza medali sita katika kunyanyua uzani, taekwondo na ndondi mjini luanda, angola. Mnyanyuaji uzani amanda linah alifungua akaunti ya medali na fedha mbili na medali ya shaba kati
Advertisement