Back to home

Mashimo ya Nakuru yashuhudiwa kwa miaka mitatu sasa

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 22, 2025
3h ago
Kaunti ya Nakuru kwa miaka mitatu sasa imekuwa ikishuhudia kuporomoka kwa sehemu mbali mbali na kusababisha mashimo maeneo hayo. Mabadiliko haya hujitokeza zaidi wakati mvua kubwa inaponyesha katika kaunti ya nakuru. Ni hali iliyolazimu mamia ya familia kuhamishwa, na hata wengin
Advertisement