Back to home

Wanajeshi 7 wa majini na raia mmoja waachiliwa kwa dhamana baada ya kesi ya wizi wa mihadarati

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 23, 2025
2h ago
Mahakama ya Mombasa imewaachilia kwa dhamana wanajeshi saba wa jeshi la wanamaji Na raiya mmoja wanaotuhumiwa kupatikana na kilo 24 za dawa ya kulevya aina ya Methamphetamine zenye thamani ya shilingi milioni 192.
Advertisement