Back to home
Taifa laomboleza kifo cha Mbunge wa zamani wa Likuyani Enock Kibunguchy
video
C
Citizen TV (Youtube)December 23, 2025
2h ago
Taifa linamuombopleza Mbunge wa zamani wa likuyani Enoch Kibunguchy. Kulingana na binamuye Justus Wekesa, Kibunguchy aliaga dunia usiku wa kuamkia leo akipokea huduma za matibabu katika hospitali moja ya kibinafsi mjini Eldoret baada ya kuugua kwa kipindi kirefu. Kibunguchy pia a
Advertisement
Advertisement




