Back to home
Familia ya marehemu Silvester Mwenda anayedaiwa kufariki mikononi mwa maafisa wa Polisi wadai haki
video
C
Citizen TV (Youtube)December 23, 2025
4h ago
Familia ya marehemu Silvester Peter Mwenda ambaye anadaiwa kufariki mikononi mwa maafisa wa Polisi waliyemkamata Ijumaa iliopita inalilia haki. Mwili wa Marehemu Mwenda ulipatikana katika makafani ya hospitali ya Nyambene Level 4 kaunti ya Meru, siku moja baada ya kutoweka nyumba
Advertisement
Advertisement





