Back to home
Gavana Orengo asema UDA kinapaswa kuunga mkono ODM
video
C
Citizen TV (Youtube)December 25, 2025
3h ago
Gavana wa Siaya James Orengo anasema chama cha ODM hakitamuunga mkono rais William Ruto katika uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2027 akisema kuwa chama cha UDA ndicho kinapaswa kuunga mkono ODM. Kulingana naye, kwa vile ODM kina umaarufu zaidi ya vyama vyote nchini, hakiwezi kuwa chin
Advertisement
Advertisement



