Back to home
Dereva wa gari lililohusika kwenye ajali eneo la Kedowa alikuwa akimfuata mwizi kwa kasi
video
C
Citizen TV (Youtube)December 26, 2025
4h ago
Imebainika kuwa dereva aliyehusika kwenye ajali ya barabarani iliyowauwa watu watano hapo jana huko kedowa kericho, alikuwa akiwakimbiza wezi. Jamaa zao wanasema kuwa wezi walivunja duka na kutoweka na mali na kusababisha waliohusika kwenye ajali hiyo kuanza kuwafuata kwa kasi wa
Advertisement
Advertisement





