Back to home

Harrison Nyamu atafutwa na familia Changamwe baada ya kudaiwa kutekwa na polisi

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 29, 2025
3h ago
Familia moja huko changamwe kaunti ya mombasa inamsaka jamaa yao ambaye wanadai alitekwa nyara na watu wanaoaminika kuwa maafisa wa polisi. Kulingana na mkewe, watu waliojihami kwa bunduki na ambao walikuwa wamejifunika nyuso waliwapiga nyumbani kwao na kisha kutoweka na jamaa hu
Advertisement