Back to home

Wafugaji Meru walalamikia visa vya wizi wa mifugo wao mpakani

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 5, 2026
1d ago
Wafugaji na Wafanyibiashara wa mifugo Kutoka Meru wamelalamikia kutelekezwa na viongozi wao kwenye vita dhidi ya Wizi wa mifugo ambao umekithiri miezi Miwili iliyopita haswa kwenye eneo la marisho mpakani mwa Meru, Isiolo na Samburu.
Advertisement