Back to home

Mgogoro katika chama cha ODM waendelea kutokota

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 8, 2026
21h ago
Waanzilishi wa chama cha ODM wakiongozwa na mbunge wa zamani wa Makadara Reuben Ndolo wamesema kuwa kuna njama ya watu fulani kusabaratisha chama hicho na ndio sababu kuu ya mzozo unaoshuhudiwa kwenye chama hicho.
Advertisement