Back to home
KMPDU yaunga mkono marufuku ya madaktari wa kigeni nchini
video
C
Citizen TV (Youtube)January 8, 2026
19h ago
Muungano wa Madaktari nchini KMPDU umeunga mkono agizo la Waziri wa Afya Aden Duale kupiga marufuku leseni za madaktari wa kigeni humu nchini. KMPDU ikisema kuwa madaktari wengi wa kigeni wanaohudumu humu nchini wanadhulumiwa kwa mishahara ya chini na kutumika vibaya
Advertisement
Advertisement




